Polisi wanafanya fujo,Sheikh Ponda na Sheikh Farid ni harmless religious fanatics

Hivi ulikuwa unataka kufikisha ujumbe gani haswa?? get you brain checked a..h..

Ujumbe wangu ni kwamba kama Serikali inapata matatizo mengi sana na hawa Men of the Cloth,labda Serikali ndiyo ina matatizo,kama kwamba inavyojisifu kwamba,''Serikali haina dini,ila watu wake wana dini.'' Unakumbuka kuapishwa kwa Obama kuwa Rais,jinsi alivyochukua kiapo mara mbili,kwa vile mara ya kwanza there was too much religious symbolism. Hayo ndiyo mambo ambayo tusiyopenda,kwamba Rais anaona haya kumtukuza Mwenyezi Mungu.
 
Tatzo la wenzetu ni
elimu pia. kwan walioko maofisin sangap
wataenda kwenye maandamano?
 
I think GANESH is not with us but in another world of his own!!

Hapana,no one has stolen my password. Matatizo yamezidi,kwanza Imperialist vermin wanataka kutugombanisha na Malawi,halafu sasa fujo za Waislamu.
 
Hapana,no one has stolen my password. Matatizo yamezidi,kwanza Imperialist vermin wanataka kutugombanisha na Malawi,halafu sasa fujo za Waislamu.

Ganesh now is back with us showing his patriotic zeal,castigating imperialits for their machinations of sowing seeds of discord so that we go to war with our poor neighbours Malawi for their own selfish interests; he has also realized that fujo hizi zinafanywa na waislam hence his anger!! Welcome to the fold!!
 
ukiambiwa useme nyerere kakuzulum nini sizani kama utatoa sababu za kueleweka mpaka mtu alio na akili timamu akuelewe
haaaa kweli wewe ni punguani wa mwishi, inamaana huyo muislam mwenzenu akipewa BIBLIA ndio inakuwa nini sasa?
na viongozi wetu walifanya hivyo kwasababu wanajua kuwa raisi ni muislam na nchi yetu haina dini. kwani ni malangapi huyo muislam mwenzenu ameenda kanisani iwe kwa kufungua kitu fulani au kwa kualikwa? kweli nimeamini waislam wamejaza funza kwenye vichwa vyao. sijui ni kwasababu ya hayo mavilemba wanayovaa kama wanakwenda kujitwisha maji????? nashindwa kupata jibu kwakweli.
Nandivyo mnavyo tafsiri kuwa mnavyochoma MAKANISA na kuiba sadaka na spika tunawaogopa sana????? sisi wakristo tumeumbwa kuwa wavumilivu na tumepewa roho iliyo njema na dini yetu haitufundisha kugombana na mtu. mnasema kunawadharau sisi tunawadharau nyie kutokana na vitendo vyenu na tutawadharau mpaka mkome. kweli ukimdharau mtu anaumia kuliko ukimjibu tetetetetetete kaogeeeeeeeeee




 
Ungesoma Phoenix Archives ungeelewa maana yake. Kwa hiyo google' Phoenix Archives'
To me at least you come across as a half educated, half confused character.
hata ikichomwa nyumba yako mwenyewe si ajabu utashangilia kuwa hicho ni kitendo cha kijasiri.
 
harmless! you are kidding I guess. if you're serious when writing this ****, for sure something is wrong upstairs. harmless while you just heard churches were burnt down? disgusted
QUOTE=Andrew Nyerere;4849406]I don't know what is going on here,sijatazama TV for at least seven days. Lakini sioni sababu yoyote why there should all this excitement,because a Church was petrol bombed. Haya ni mambo ambayo watu wanaweza kuzungumza wakayamaliza. Yesu alisema yeye ni mwana wa Mungu,akasulubiwa. Sasa mtu akijiita Mwana wa Mungu anamdhuru nani? Sasa unagombana na watu kwa sababu wamekuuliza kwa censor haiulizi idadi ya waumini,kwa nini Serikali haina dini? Kwako wewe ni mambo madogo,lakini kwa wengine siyo jambo la utani.Sasa unawasumbua,unataka kujua kwa nini wanalalamika,kwani wao mitume au wao ni nani.[/QUOTE]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…