Hicho kiwanja na wasiwasi ni utapeli aidha kipo ndani ya hifadhi ya serikali kwenye mikoko ambapo hakuruhusiwi kujengwa au vinginevyo, kwa maana kunduchi hamna kiwanja cha mil 20 sh! mimi huko ni kwetu hivyo nakujua vizuri sana, hiyo bei haiwezekani ni ndogo mno, lazima kuna kitu!