GE2020 Please CHADEMA, mtapata mnachokitafuta

Wakuu sina imani na wajumbe wa mkutano mkuu hasa wanaotoka mkoa wanaweza kupindua meza wakampa Nyalandu au yule mama maana akili ya wajumbe huwa wanaijua wenyewe.

Wajumbe ni wakata umeme wahuni sana wasiofaa kuwapa nafasi ya maamuzi kwenye mambo nyeti kama haya.

Laiti ningekuwa Mbowe ningeprint form moja tu ya Lissu anayetaka akatoe copy kwake kama walivyofanya upande wa pili. Haiwezekani mtu akubalike na wananchi wengi alafu tuanze upuuzi wa demokrasia. To hell with democracy, TL for presidency.
 
Umenikumbusha askari wa wayahudi wakipoulizwa na Yesu Kristu kuwa:
"mnamtafuta nani?" Wakajibu "Yesu wa Nazareti!" Alipowaambia kuwa "Ni Mimi" wote waliangukiana Kama hivyohivyo makada wa CCM walivyoangukiana bada ya wao kumuuliza Tundu Lisu kuwa "Tundu Lisu umerudi?" Alipowajibu "Ndiyo nimerudi!" Wote wameangukiana. Hehehe!
 
Watuwekee lisu hata tukishindwa tutakuwa na amani tele mioyoni!! Na hakuna wa kulaumiwa!! Mambo ya Kachero mbobezi watuache kwanza, na huyu CHIBA WETU!!!
 
CCM ni chama cha mapinduzi.

Chadema ni chama cha demokrasia na maendeleo.
 
Unafiki wenu tu.
 
Mkuu ni wewe au?
 
Wambie siku ya kupiga kura waende kupiga vituoni sio mitandaoni ya kijamii, Maana wengi wa mitandaoni ata vichinjio hawana vya kura
 
Sema chadema sio watanzania .
 
Kweli.. pia mh Bernad Membe aelewe hili na ashiriki kumnadi TL. Ni Bora BKM apewe u Pm
 
Akijipitisha MBOWE TU rasmi naenda ACT
 

Kwa hotuba nilioisikia ya tundu lisu hakuna kitu pale saana hata kwenye msiba anenda tu kwa kujilazimisha lakini sio mapenzi yake, ni hadaa kwa watanzania.
Hajaguswa na chochote juu ya msiba huo na hawezi kuficha mazaifu yake yenye chuki.
Niwashauli washabiki wake mumshauri jinsi ya kuongea vinginevyo nyie mnaompa sifa mtapata aibu sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…