GE2020 Please CHADEMA, mtapata mnachokitafuta

Mbona mgombea wa chadema anafahamika tayari hayo majina mengine ni kutimiza column tu hata Ccm wanamuhofia huyo kuliko hao wengine.
 
Angalizo muhimu sana kuhusu Lisu kufanyiwa mizengwe. Lisu ndio anayefaa, na iwapo atafanyiwa fugisu na Magufuli, basi wajiunge na Act, na Zito atafaa kuliko hao wagombea wote wa cdm.
Huo Ni mtazamo wako Mkuu..
 
Ushauri mzuri My sone Drink Water
 
Kaka mbona una hasira sana.
 
Chadema haiwezi kushinda uraisi halina ubishi
Kimantiki Msigwa kaonesha 'mwelekeo sahihi' wa tunakopaswa kwenda
Lissu ana influence kubwa kulingana na maisha aliyoyaishi hivyo kwa ushindani wa 2020 anafaa ili CDM ipate kura nyingi wapate Ruzuku ya kutosha na wabunge ikiwa wa majimbo na viti maalumu

Hoja zá Msigwa zibebwe na ziwe ndiyo ilani kwani imewavuta frist class na second class ambão uwezo wa kufikiri ni mzuri na wanaushawishi kwa third class kimantiki na si jongo

Mwaka huu Uwe mwaka wa kuonesha mwelekeo sahihi ili watu waamue kubadilika na si kulazimisha kubadilika kwa udhaifu wa mtu au chama bali mwelekeo utangulie katika kutafakari udhaifu wa CCM
Msigwa hás something but for now Lissu is the best candidate
 
Inaonekana hii nchi ndio haitujui. Unadhani hapo ndio utatutoa kwenye reli?
Tundu lissu anaondolewa kwenye reli kabla mchezo haujaanza ... jezi anapewa veteran...BOOM GAME OVER
 
Kaka mbona una hasira sana.
Mkuu I smell something fishy!... Lissu ndo the best candidate aliepo CDM na asie na mawaa anauzika ki urahisi kwa wananchi!... Leo utuwekee Nyalandu? kweliii tuanze kujieleza kuhusu Twiga na Aunt Ezekel?...JPM is not that WORSE Aisee atapiga zaid ya 98%,,,,Na CDM ndo tunaizika
 
Kura zote za awali kupitia mitandao ya kijamii zinaonyesha Lissu anakubalika kuliko wagombea wote wanaoomba.
Unachoamini ni hicho kuwa mna Rais wa mtandao ya kijamii. Hongereni.

Ili aweze kufahamika nje ya mitandao ya kijamii inabidi mfanye kazi kubwa maana asilimia kubwa (>70%) ya wapiga kura hawana simu janja.

Isitoshe kumuuza kwa wapiga kura ni ngumu kwa sababu hakuna alilofanya la kitaifa hata jimboni kwake wanajuta kumchagua kwa vipindi viwili mfululizo.

Mbali na mapungufu hayo ana matatizo binafsi km dharau, ubinafsi na majivuno, wakati uongozi wa umma ni dhamana.
 
Kaka mbona una hasira sana.
 
Tumekuelewa na umesomeka
 
Asante kwa kuweza kumerge hoja zako umeeleweka poa kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…