Pikipiki inauzwa

Yumbayumba

JF-Expert Member
Joined
May 31, 2012
Posts
1,240
Reaction score
850

Pikipiki aina ya fekon inauzwa, bado mpya kabisa
Imekamilika vibali vyote, haina tatizo lolote namba ni Mc 942 Axt
Bei 1,600,000/=
 

Pikipiki aina ya fekon inauzwa, bado mpya kabisa
Imekamilika vibali vyote, haina tatizo lolote namba ni Mc 942 Axt
Bei 1,600,000/=

AXT ni namba ya zamani kidogo. Ina km ngapi? Namba nyeupe au njano?
 
Namba "A" kwa mihela yote hiyo?
punguza bei la sivyo utapishana na meli ya hela Mkuu!
 
Namba nyeupe, mkuu hii pikipiki ipo muda mwingi ipo ndani angalia hata km iliyotembea
Hehehe
Iko ndani sehemu ya miguu ya abiria imechakaa, mkuu ipo 600,000/=
Bei ya mwanzo, bado discount, kama uko interested njoo cash payment.
 
Hehehe
Iko ndani sehemu ya miguu ya abiria imechakaa, mkuu ipo 600,000/=
Bei ya mwanzo, bado discount, kama uko interested njoo cash payment.
Sehemu gani ya miguu ya abiria imechakaa? Hujalazimishwa kununua mkuu.
Hela yako tafuta sehemu nyengine hii haiuzwi kwa bei hiyo
 
We huna hela kaa pemben
Anazingua huyo jamaa katafuta kasoro haijaiona anasema sehemu ya kukanyaga abiria imechakaa
Hizi picha nimepiga jioni hii na nimepiga ndani, mtu ambaye yupo serious atataka aione pikipiki yenyewe kwa macho yake.
Sasa aje aione alafu anionyeshe palipochakaa
 

Pikipiki aina ya fekon inauzwa, bado mpya kabisa
Imekamilika vibali vyote, haina tatizo lolote namba ni Mc 942 Axt
Bei 1,600,000/=
Mzigo uko poa na huwa nahitaji vitu Kama hivi but da uko mbali sana ndugu yangu.....hata mwanamke unatongoza huku ukiangalia hata status zetu zipo vipi japo kujiamini muhimu
 
Mzigo uko poa na huwa nahitaji vitu Kama hivi but da uko mbali sana ndugu yangu.....hata mwanamke unatongoza huku ukiangalia hata status zetu zipo vipi japo kujiamini muhimu
Mkuu kama unahitaji tunaongea hii ni biashara mazungumzo yapo
 
Sorry ni 600000/= ,au 1600000/=?
Kama ni 1600000/= basi kazi ipo, ni sawa na bei za dukani. Watu wenye tamaa ya pesa kirahisi huwa siwavumilii. Kama uko dar ninaweza kukupeleka mahali ambapo kwa fedha hiyo utapata mpya na chenji kubaki. Fekon bei yake iko chini sana.
Used ukija kwenye mnada wa pikipiki walizozitosa vijana Change'ombe polisi unapata nzuri kwa fedha isiyofikia hata milioni moja.
 
Sijui hata kwann umepanik wakati wala hujalazimishwa kununua, mtu anauza kitu chake mwenyewe unasema ana tamaa ya pesa
Ipo hivi hii ni biashara kama ungekuwa unahitaji tungeongea bei na sio kunipangia bei ya kuuza na kama unataka za bei rahisi nenda huko kwenye mnada polisi chang'ombe
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…