#TBT
Benjamin Mkapa (kulia) na rafiki yake, Philip Magani (Mkurugenzi wa kwanza Mwafrika wa Benki ya CRDB), wakati wakiwa wanafunzi Sekondari ya Abbey, Ndanda.
#RIPMZEEMKAPA
Halafu wanaume tunakuaga na miili yetu mizuri ujanani(Pre 30yrs) ila vichenji vikishaanza kunoga tu tunajiachiaaa vitambi na mamwili kufumuka sijui kwanini yani??
Halafu wanaume tunakuaga na miili yetu mizuri ujanani(Pre 30yrs) ila vichenji vikishaanza kunoga tu tunajiachiaaa vitambi na mamwili kufumuka sijui kwanini yani??
#TBT
Benjamin Mkapa (kulia) na rafiki yake, Philip Magani (Mkurugenzi wa kwanza Mwafrika wa Benki ya CRDB), wakati wakiwa wanafunzi Sekondari ya Abbey, Ndanda.
#RIPMZEEMKAPA View attachment 1522725
Halafu wanaume tunakuaga na miili yetu mizuri ujanani(Pre 30yrs) ila vichenji vikishaanza kunoga tu tunajiachiaaa vitambi na mamwili kufumuka sijui kwanini yani??