kakimbia tangazo lake. njoo na bei mkuu.
ile sera ya WE DARE TO TALK OPENLY sio kwa majukwaa ya siasa tu. hili jukwaa linateswa na homa ya usiri. bei tutaambiwa twende pm. yehodaya auziwe 650,000, ushmen anunue 800,000 na robert atandikwe 900,000 bidhaa aina moja!