Naibu waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo Paul Makonda leo Januari 03, 2026 ameitembelea kambi ya Taifa Stars kuelekea mechi ya 16 bora ya AFCON 2025 dhidi ya mwenyeji Morocco.
Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo Paul Makonda leo Januari 03, 2026 ameitembelea kambi ya Taifa Stars kuelekea mechi ya 16 bora ya AFCON 2025 dhidi ya mwenyeji Morocco.