Paul Chagonja atimuliwe Polisi

Mtu mzima kutoa maamuzi yaliotawaliwa na jazba na ushabiki wa kisiasa hata haipendezi..kwa akili yake alichoweka kichwani ni maandamano ya CDM..taka taka kabisa!!
 
hii ni dharau-kama mwananchi anayeandamana anaitwa mhuni,bora kurudi msituni tu
 
inawezekana akapatikana juha alie afadhali mkuu.. Imagine ametumwa kwenda kuchunguza.. lkn ameanza kutetea kabla ya kutoa nyayo zake hapa kwenda huko..! ati polisi wamefundishwa na kwa hiyo hawawezi kuua raia.. damn wanakera sana hawa..

huyo bora arudi tu Dar,sioni anachoenda kufanya wakati tayari jibu anayo kwamba wale wananchi walioandamana walikuwa wahuni.yaani tayari amesha side upande mmoja.hopeless cop.
 

humo ikulu alikuemo ****** au mamake na huyu changoja, hao wahuni anaowasema walikuwa na silaha za moto? Hv jeshi letu la police huwa awana rubber bullets.useless cop.
 
Ametumwa kwenda kuchunguza nini wakati tayari ana majibu ya kazi anayotakiwa kufanya. Hawa wanatafuna fedha za walipa kodi bure na hakuna chochote cha maana watakachofanya ama kushauri
 
Toka lini mtu asiyekuwa na uelewa wenyewe wa uchunguzi akafanya uchunguzi hapo mnategemea nini?
Kesi ya ngedere unamplekea kima
 
huyu polis anafikira wananchi wote hawajakwenda shule kama yeye unatoa taarifa kabla hujafika eneo latukio hata huko ccp moshi am not sure kamaamewahi kufika kwenye mafunzo cheo chakununua haya ndio matokeo yake wewe sacp unaongea utumbo hatahujafika kwenye tukio ulijuwaje kama
Niwahuni? Na wahuni sio watanzania wezetu jee katiba inasema wahuni wauliwe?
 
 
hii nchi ilipofikia hakuna mtu anaweza kufukuzwa kazi hata afanye uzembe wa aina gani aibe, afanye ufisadi wa ajabu wala hakuna kitu!! watu walipiga kelelel Jairo, luhanjo, Mponda, ngeleja, malima, nkya, wameguswa?? serikali ya kishikaji na kujuana ndugu!!!
 
Polisi gani lina mashavu makubwa, tumbo na wowowo mpaka akili zote zimehamia kwenye masaburi. Bonge la Dog likiambiwa shika linakimbiza tu, akili imehamia miguuni........
 
raia mwema ni yule anayetii sheria kwa ustawi wake na wawatanzania wote hata kama rais angekuwa Slaa lazima kuwe na rule of law na police ndiyo law enforcers msilete siasa kwenye sheria za nchi mtakwisha.
 
raia mwema ni yule anayetii sheria kwa ustawi wake na wawatanzania wote hata kama rais angekuwa Slaa lazima kuwe na rule of law na police ndiyo law enforcers msilete siasa kwenye sheria za nchi mtakwisha.

mkuu.. rule of law iwe pande zote.. kosa la kuandamana haliadhibiwi kwa kuwaua raia bali ni kuwakamata na kuwafikisha kwenye mikono ya sheria.. unapoua unakuwa umevunja sheria na unapaswa na ww uadhibiwe.. ielezee kauli ya kiongozi wa kikosi cha kwenda kufanya uchunguzi wa mauaji kuanza kutamka maneno ya kuwashutumu raia.. haki itatendeka hapo..? hakuna siasa hapo..
 
Uchunguzi wa kutuliza hasira za wananchi ili wasahau. Nchi hii wote tulishaonekana wajinga.
 
Namkumbuka yule mzee marehemu wa Libya aliyewaita wananchi waliokuwa wanaandamana kupinga utawala wake kuwa ni mende na mapanya siku yake ilipofika mnafahamu alifanyiwa nini! Sasa siku ya Chagonja ikifika sijui wananchi watamfanyaje!!
 
 
Ni kweli kabisa tuwaache POLISI wafanye kazi yao! WaTZ hawapendi kuambiwa ukweli!!!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…