Pata kiwanja kwa Tsh 2M

genius26

Member
Joined
Feb 8, 2017
Posts
44
Reaction score
25
Nauza kiwamja maeneo ya chanika - Lukooni
12M*24M , vipo viwili vimefwatana vyote ni 12*24M , bei ni 2M@
Panafikika kirahisi na barabara ni nzuri , pja umeme upo mita chache tuu kufika kwenye kiwanja. .
Karibu tuwasiliane kwa mwenye uhitaji
 
Nauza kiwamja maeneo ya chanika - Lukooni
12M*12M , vipo viwili vimefwatana vyote ni 12*12M , bei ni 2M@
Panafikika kirahisi na barabara ni nzuri , pja umeme upo mita chache tuu kufika kwenye kiwanja. .
Karibu tuwasiliane kwa mwenye uhitaji
Kwa hio vyote viwili ni mil 4
 
Nauza kiwamja maeneo ya chanika - Lukooni
12M*12M , vipo viwili vimefwatana vyote ni 12*12M , bei ni 2M@
Panafikika kirahisi na barabara ni nzuri , pja umeme upo mita chache tuu kufika kwenye kiwanja. .
Karibu tuwasiliane kwa mwenye uhitaji
Mkuu afadhali useme unauza kiwanja kimoja 12*24 bei tzs 4m maanake 12*12 ni kidogo sana.
 
Huyu mbuyu yaonekana ni Dalali Hahahaaaaaa.
 
Mkuu afadhali useme unauza kiwanja kimoja 12*24 bei tzs 4m maanake 12*12 ni kidogo sana.
kiwanja ni kimoja kina 24M*24M , ila nimekigawa katikati ndio vimetoka viwili ambavyo kila kimoja ni 2M , ila kma uwezo wa kuchokua chote upo nisawa na bei ni4M , kuhusu picha nitaleta kwa sasa nipo chuoni thus why nimedelay
 
kiwanja ni kimoja kina 24M*24M , ila nimekigawa katikati ndio vimetoka viwili ambavyo kila kimoja ni 2M , ila kma uwezo wa kuchokua chote upo nisawa na bei ni4M , kuhusu picha nitaleta kwa sasa nipo chuoni thus why nimedelay
Mkuu kiwanja cha 24*24 ukikigawa mara mbili si sawa utapata viwanja viwili vya ukubwa wa 12*24. Hebu fafanua vizuri kabla hujagawa kilikuwa na ukubwa gani??
 
Mkuu, viwanja viwili vya 12×12 haviwezi kuwa 24×24 bali jumla vitakuwa 12×24.. ambacho bado ni kidogo sana...
nilikosea figure ila dhumuni langu nimaanishe 12*24 baada ya kukigawa , ambapo kama nikiviunganisha ndio napata 24*24M
Asante
 
kiwanja ni kimoja kina 24M*24M , ila nimekigawa katikati ndio vimetoka viwili ambavyo kila kimoja ni 2M , ila kma uwezo wa kuchokua chote upo nisawa na bei ni4M , kuhusu picha nitaleta kwa sasa nipo chuoni thus why nimedelay
hicho kiwanja au sebule. uza kiwanja cha 24x24 mil. 2 tuje fasta. nyie ndio mnafanya jiji linakuwa uswahilini. hapo 12 kwa 24 barabara itapita wapi, mitaro ya maji machafu itapita wapi??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…