Hapa ni baadhi ya picha za generator kama zinavyoonekana.Wakuu Generator zinauzwa bei poa.
1.5kva. Tsh.350,000
2.5kav. Tsh.550,000
3kva. Tsh.750,000
5kva. Tsh.1,250,000
6kva Tsh.1,300,000
5kv Diesel eng Tsh 2.2m
10kv Diesel eng Tsh.8m
Kwa mawasiliano piga. 0773 944944
Mkuu mzigo upo city centre kwenya makutano mtaa wa Samora na India.Unapatikana maeneo ya wp
Nipe bei ya Honda 1KV?[/QUOT
Mchungaji honda 1kv tunazo bei ni 1m. Karibu
Nipe bei ya Honda 1KV?
Hapana walau uwe na 5kv original.1.5kv inaweza kusukuma k2 kama frigi,tv na taa na matumizi mngne ya kawaida ya ndani
Sasa tunayo, Boss 6.5kv. Inatosha kwa matumizi ya nyumbani na ofisi ya kawaida.Wakuu Generator zinauzwa bei poa.
1.5kv. Tsh.350,000
2.5kv. Tsh.550,000
3kv. Tsh.750,000
5kv. Tsh.1,250,000
5kv Diesel eng Tsh 2.2m
10kv Diesel eng Tsh.8m
ZOTE NI MPYA.
Aina ya Generator ni. Firman, Rme , Kingmax, Kipor na Honda. Guarantee ni mwaka 1 inahusisha engine tu.
Kwa mawasiliano piga. 0773 944944
Sasa tunayo, Boss 6.5kv. Inatosha kwa matumizi ya nyumbani na ofisi ya kawaida.
Inaweza kusukuma fridge,pasi,taa za ndani na nje.
Pia inaweza kusukuma, Ac ya HP 1.5 mpaka 2hp. Computer zisizo pungua 4,fen na photocopy.
Ina warrant ya mwaka 1.
Inaweza kutumia mafuta 1lt kwa masaa 2.
Karibuni wadau.Hapa ni kama inavyoonekana.