Hapo nimekuelewa, kwa bati hanidanganyi mtuNice kweli unazijua bei za bati hongera bro,ila hyo bei ni za agent ila final user huwez pata kwa bei hyo,ila mpk uplekw na sisi wa mauzo
Kutu hutokea pale chuma+maji+oxygen vinapo corride na moja ya kitu kinachozuia kutu ni coating rangi so bati lililo na rangi ni ngumu kupata kutuIsikute ni Yale baada ya mwaka yanakutu ukawatia watu umaskin
Na maisha haya.
Poa poa..ntakutafuta.0766004940
[emoji106]0766004940