kwa yeyote mwenye info on hw i can get a part time or weekend job in dar,naomba anijulishe
I do need to earn extra cash!!!!
Zile zinazopatikana kwa net ni za uongo na msijaribu
so far naona jobs that can be useful ni zile za data entry au za consultancy ambazo an employer can easily hire u on weekends!!but simjui mtu yeyote wa kunisaidia kupata, si rahisi mtu kukupa job as a part timer wakati watu wengi wanatafuta kazi
kwa yeyote mwenye info on hw i can get a part time or weekend job in dar,naomba anijulishe
I do need to earn extra cash!!!!
Zile zinazopatikana kwa net ni za uongo na msijaribu
mbona mmekaa kimya?? si mnataka part time na hamtaki kuspecify ni kazi gani?? ipo kazi ya kuuza sura.....nyambafu kuweni makinisio kupotezea watu muda....