Pagama linauzwa

jr.kiyn

JF-Expert Member
Joined
Mar 17, 2013
Posts
809
Reaction score
4,951
Pagama( nyumba ambayo haijaisha)imefikia hkwenye hatua ya kuweka linta na lina vyumba vitatu vya kulala kimoja wapo ni master,sebule,sehemu ya kulia,jiko na stoo ipo maeneo ya Buyuni kituo kwa chikira ni mwendo wa dakika 5 kwa kutumia pikipiki,bei yake ni 20mil kwa maongezi zaidi piga namba 0628106640......

 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…