open letter

Anthony Threedeyea

JF-Expert Member
Joined
May 29, 2013
Posts
471
Reaction score
47
unapendeza sana please naomba ujilinde unijali babe naitaji pendo lako sina mwingine nimeshiba penzi lako unaposhika shikilia usiachie nahaidi kukulinda,kukutunza nijukumu langu mimi nakutazama kwa jicho la tatu la upendo hii nikama zawadi niliyopewa na mungu nikiwa nawe na enjoy maisha yangu tukioneana huruma hata balaa halitatufika nikiteleza nikaanguka nishike mkono ninyanyue unipanguse

jua nina mapenzi yakweli mpaka shetani anaogopa ukubwa wa mapenzi nikutengeza familia nijali ntakutunze moyo wangu anataka unipende...
 
Enzi zetu za barua!, ishu inapodondoka mtaani kabla haijafika kwa mhusika.
Siku hizi naambiwa mnatumia whatsapp, mxit, sms, PM, etc kumfikishia mrembo ujumbe kama huu!

Ila ujumbe umemfikia.
 
Enzi zetu za barua!, ishu inapodondoka mtaani kabla haijafika kwa mhusika.
Siku hizi naambiwa mnatumia whatsapp, mxit, sms, PM, etc kumfikishia mrembo ujumbe kama huu!

Ila ujumbe umemfikia.

tatizo unakuta barua yenyewe kaiokota mtoto halafu ndo anampelekea baba wa binti! Teh teh teh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…