m2kutu Senior Member Joined Apr 5, 2014 Posts 125 Reaction score 101 Sep 13, 2018 Thread starter #21 Ze last Born said: Kwa uandishi huu hicho chuo ulichopo ni cha vilaza wa 4G!! Empty set kabisa! Click to expand... Ni kweli mkuu ndo maana hata hapo mwanzo nilisema "nimejiona fala". Hiyo ilikuwa 2014, naamini tukukutana kwa sasa twaweza kubadilishana mawili matatu ya kimaendeleo. Ubarikiwe sana.
Ze last Born said: Kwa uandishi huu hicho chuo ulichopo ni cha vilaza wa 4G!! Empty set kabisa! Click to expand... Ni kweli mkuu ndo maana hata hapo mwanzo nilisema "nimejiona fala". Hiyo ilikuwa 2014, naamini tukukutana kwa sasa twaweza kubadilishana mawili matatu ya kimaendeleo. Ubarikiwe sana.
m2kutu Senior Member Joined Apr 5, 2014 Posts 125 Reaction score 101 Sep 13, 2018 Thread starter #22 Mr Miller said: sawa Click to expand... Sawa mkuu mchana mwema. Ni heshima sana kupata mawazo yako Mr Miller. We ni mmoja kati ya members famous sana humu. I salute you..
Mr Miller said: sawa Click to expand... Sawa mkuu mchana mwema. Ni heshima sana kupata mawazo yako Mr Miller. We ni mmoja kati ya members famous sana humu. I salute you..
Ze last Born JF-Expert Member Joined Aug 29, 2018 Posts 1,770 Reaction score 3,875 Sep 13, 2018 #23 m2kutu said: Ni kweli mkuu ndo maana hata hapo mwanzo nilisema "nimejiona fala". Hiyo ilikuwa 2014, naamini tukukutana kwa sasa twaweza kubadilishana mawili matatu ya kimaendeleo. Ubarikiwe sana. Click to expand... Good boy! Ni wachache sana huwa wanakubali makosa yao na kujirekebisha in a positive way Shukrani sana mkuu,ubarikiwe pia!
m2kutu said: Ni kweli mkuu ndo maana hata hapo mwanzo nilisema "nimejiona fala". Hiyo ilikuwa 2014, naamini tukukutana kwa sasa twaweza kubadilishana mawili matatu ya kimaendeleo. Ubarikiwe sana. Click to expand... Good boy! Ni wachache sana huwa wanakubali makosa yao na kujirekebisha in a positive way Shukrani sana mkuu,ubarikiwe pia!
m2kutu Senior Member Joined Apr 5, 2014 Posts 125 Reaction score 101 Sep 13, 2018 Thread starter #24 Ze last Born said: Good boy! Ni wachache sana huwa wanakubali makosa yao na kujirekebisha in a positive way Shukrani sana mkuu,ubarikiwe pia! Click to expand... Nashukuru Mkuu. Mchana mwema
Ze last Born said: Good boy! Ni wachache sana huwa wanakubali makosa yao na kujirekebisha in a positive way Shukrani sana mkuu,ubarikiwe pia! Click to expand... Nashukuru Mkuu. Mchana mwema
Mr Miller JF-Expert Member Joined Jan 24, 2017 Posts 11,449 Reaction score 25,821 Sep 13, 2018 #25 m2kutu said: Sawa mkuu mchana mwema. Ni heshima sana kupata mawazo yako Mr Miller. We ni mmoja kati ya members famous sana humu. I salute you.. Click to expand... asante sana chief, uwe na siku njema.
m2kutu said: Sawa mkuu mchana mwema. Ni heshima sana kupata mawazo yako Mr Miller. We ni mmoja kati ya members famous sana humu. I salute you.. Click to expand... asante sana chief, uwe na siku njema.
Chiefmghamba Member Joined Aug 30, 2016 Posts 40 Reaction score 72 Sep 13, 2018 #26 Ndy Maana waswahili hunena, ujingaa niwakati wakweenda tuu..... Siwaona sasa, you real came up with good mindsets
Ndy Maana waswahili hunena, ujingaa niwakati wakweenda tuu..... Siwaona sasa, you real came up with good mindsets