kwa kuwa ameomba msaada wa kazi yoyote, na si kweli kwamba kwa udogo w elimu yake hawezi kupata kazi, kwani ni sehemu nyingi ambazo wapo watu wenye kiwango cha elimu kama chake na wanafanya kazi. Ni vema kama kuna mwenye uwezo wa kumsaidia kupata kazi inayolingana na uwezo wake afanye hivyo.