Mr chapu chapu
Member
- Sep 11, 2020
- 52
- 22
[QUOTE="Mr chapu chapu, post: 37"
KWA MILLION 40,000,000
Nakushauri wawekee wateja mijipicha ya nyumba sio sebule tuIPO BUNJU (A)
KWA MILLION 75,000,000
Ina vyumba 3 chumba kimoja kina master room public toilet stoo jiko dining room na sitting room pia umeme upo maji yapo huduma zote za kijamii zinapatikana karibu kwa mhitaji piga simu kwa maelezo zaidiView attachment 1609910View attachment 1609918View attachment 1609919View attachment 1609920
Huyo anauza makochi sio nyumbaNakushauri wawekee wateja mijipicha ya nyumba sio sebule tu
Pia weka ukubwa wa kiwanja
Hati au sio hati
N.k.
Labda katika hiyo Nyumba anauza Sebule peke yake.Toa picha ya vyombo vya ndani kama makochi,picha, TV na makorokoro mengine. Then leta picha ya nyumba kuanzia nje ukubwa wa uwanja ndani n.k
Hiyo mitaa + Hizo Rangi = Jenga Uza,INAUZWA MBAGALA CHAMAZI KWA MKONGO
___________________________________
KWA MILLION 47
___________________________________
Call:+255 7 69 89 77 79/+255 6 28 00 82 18
___________________________________
NYUMBA MPYA INA VYUMBA 4 VYA KULALA CHUMBA KIMOJA MASTER PUBLIC TOILET JIKO STOO DINING ROOM NA SITTING ROOM PIA UMEME UPO MAJI YAPO HUDUMA ZOTE ZA KIJAMII ZINAPATIKANA:+255 6 28 00 82 18View attachment 1609902View attachment 1609903View attachment 1609905View attachment 1609906View attachment 1609907
[emoji1787][emoji1787]Labda katika hiyo Nyumba anauza Sebule peke yake.