Nyumba iliyokamilika/bado haijakamilika maeneo ya Tegeta/Bunju Mbezi beach/Afrikana au maeneo ya Mbezi mwisho . Sifa maji yawepo au kama hayapo basi yasiwe mbali, umeme uwe karibu na pia iwe karibu na barabara kuu.
Nyumba iliyokamilika/bado haijakamilika maeneo ya Tegeta/Bunju Mbezi beach/Afrikana au maeneo ya Mbezi mwisho . Sifa maji yawepo au kama hayapo basi yasiwe mbali, umeme uwe karibu na pia iwe karibu na barabara kuu.
Mbona kimya? Una hela mie nina kiwanja nusu heka kina servant kota matata maji full kipo mita 500 kutoka barabarani maeneo ya mbezi kwa komba,una hela tufanye biashara au una hela za mawazo(mkopo)?
Nyumba iliyokamilika/bado haijakamilika maeneo ya Tegeta/Bunju Mbezi beach/Afrikana au maeneo ya Mbezi mwisho . Sifa maji yawepo au kama hayapo basi yasiwe mbali, umeme uwe karibu na pia iwe karibu na barabara kuu.