Nyumba inauzwa!!!

adataro

Member
Joined
Aug 15, 2012
Posts
36
Reaction score
0
Nyumba nzuri sana inauzwa na ina sifa zifuatazo:

Muonekano: Ni nyumba ya ghorofa 5 yenye vyumba 42
Ina vifaa vyote muhimu vinavyohitajika.
Sehemu: Manzese
Bei: Billion 3 maelewano pia yapo
Unaweza kufanya mawasiliano kwa namba 0754479625
Shukrani.
 
He!
Mbona unakuja nusunusu kana kwamba umekimbia fumanizi?
Picha??????????????????????
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…