Hizi Nyumba urithi zina matatizo sana
Pamoja sirSio ya urithi usipotoshe ila nilianzia maisha nimehama sikai hapo, nimejenga nyingine majohe. Mi naona zaidi ya wapangaji hainisaidii sana nataka niongeze mtaji nifanye mambo mengine sinavl tatizo na sehemu ya kuishi
Sent using Jamii Forums mobile app
Kiwanja kina ukubwa gani?
Ukiuza ucsahau kununua phone nyingine maana sio kwa kamera iyo