NYUMBA INAUZWA SALASALA

quintella

Member
Joined
Feb 4, 2009
Posts
20
Reaction score
1
Nyumba ya vyumba viwili vya kulala kimoja master, sebule na jiko inauzwa salasala, ipo kwenye kiwanja chenye ukubwa wa 20m x 20m, haina hati, bei ni Tshs. 30,000,000/= kwa anayehitaji anaweza kupiga namba 0625595624, karibuni.
 

Attachments

  • 1472549136015.jpg
    9.8 KB · Views: 91
  • 1472585175976.jpg
    8 KB · Views: 73
  • 1472723659109.jpg
    12.1 KB · Views: 80
  • 1472726611295.jpg
    10.4 KB · Views: 74
  • 1472733306837.jpg
    12.4 KB · Views: 74
Sasa mbona habari yajichanganya? Umesema haina bati wakati picha inainesha ina bati...........!
 
Maana nyumba isiyo na hati ina RISK kubwa!!!
 
Hiii ipo Salasala au Goba Majengo?!!! Tena km sijakosea ni.baada ya cheo streete, mbele yake kuna barabara kubwa, kweli kimefika 20x20m kweli?!!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…