Kitomai JF-Expert Member Joined May 21, 2009 Posts 1,139 Reaction score 366 Jul 9, 2012 #1 Nyumba hii haijakamilika. Ina vyumba vitatu vya kulala. Ipo katika kiwanja chenye ukubwa wa mita 50 kwa mita 30. Bei ya kuuzia ni sh 45mil. kukiona au maelezo ya ziada tuwasiliane kupitia 07171114409. Attachments IMG01908-20120707-1222.jpg 93.8 KB · Views: 85 IMG01909-20120707-1223.jpg 102.8 KB · Views: 83 IMG01910-20120707-1231.jpg 106.1 KB · Views: 79 IMG01911-20120707-1231.jpg 95.6 KB · Views: 78 IMG01912-20120707-1232.jpg 90.2 KB · Views: 73
Nyumba hii haijakamilika. Ina vyumba vitatu vya kulala. Ipo katika kiwanja chenye ukubwa wa mita 50 kwa mita 30. Bei ya kuuzia ni sh 45mil. kukiona au maelezo ya ziada tuwasiliane kupitia 07171114409.
Hute JF-Expert Member Joined Nov 25, 2010 Posts 6,537 Reaction score 6,482 Jul 9, 2012 #2 uko serious kwamba kibanda kama icho mtu anunue kwa hela hiyo? hizi hela wengine wanaokota nini?
amkawewe JF-Expert Member Joined Dec 9, 2011 Posts 2,021 Reaction score 528 Jul 9, 2012 #3 Dalali ale wapi?
lukunij Member Joined Jul 4, 2012 Posts 36 Reaction score 7 Jul 9, 2012 #4 si kiivyo labda kiwanja kingekuwa mjini kidogo kwa ajili ya bishara tanzania hatujafikia kiwango hicho bei kubwa sana
si kiivyo labda kiwanja kingekuwa mjini kidogo kwa ajili ya bishara tanzania hatujafikia kiwango hicho bei kubwa sana