Ina vyumba vinne vya kulala, jiko, dinning na sebure. Imejengwa katika kiwanja chenye ukubwa wa mita za mraba 850. Ina hati miliki. Bei 210mil. ukihitaji kuinunua tuwasiliane kupitia hii namba 0717114409 au tuwasiliane kupitia email hii info@kitomai.com Asante na karibu.
Jamani mimi ni kijana mjasiliamali hasa najihusisha na utengenezaji wa batik aina zote kama vile, tie&die pamoja na batik print zenye viwango vya juu.Tafadhali naomba support kwa kunipa oda 0717539573 au stanslausd@yahoo.com kwa Dar utaletewa ulipo mikoani ntakutumia kwa njia ya mabasi.