nyumba mbili zilizo kwenye kiwanja kimoja zinauzwa, nyumba moja ina vyumba sita na nyingne ina vyumba saba pia kuna kuna banda moja la uani pamoja na frem 4 mbele
nyumba iko eneo la mbagala kuu ni mita 200 kutoka barabarani
kwa sasa nyumba ina wapangaji
bei ni millioni 70 ukihitaji kuiona au kwa maswali zaidi nicheki 0688206680
NB; nyumba ina hati zake zote halali na haina utata hata kidogo
pia mniwie radhi kwa kushindwa kuweka picha hapa bt nifuate whatsap ntakutumia ahsanteni