Nyumba inauzwa Luchelele beach

pettymarcel

JF-Expert Member
Joined
Jun 17, 2012
Posts
2,161
Reaction score
883
Habari wakuu nyumba nzuri inauzwa Luchelele kando ya ziwa Victoria bei mil 70 maongez yapo kwa mawasiliano nichek WhatsApp 0763772636
Karibuni sana unaweza kui dezin ikawa apartment ukakodisha wazungu ukawa unakula dola tu
 
Hii si kama zile ulisema tunaweza kujenga kwa 32m vipi tena hii unatuuzia 150...70m?
Hiii ni ya mteja anashida ametuomba tumtangazie awali alikuwa anauza 150 akakosa mteja na shida ikawa kubwa zaidi Leo ameomba tukipata ata mteja wa 70 tumsaidie kuuza tu maana yuko juu ya mawe
 
Hiii ni ya mteja anashida ametuomba tumtangazie awali alikuwa anauza 150 akakosa mteja na shida ikawa kubwa zaidi Leo ameomba tukipata ata mteja wa 70 tumsaidie kuuza tu maana yuko juu ya mawe
Ikifika 10 uniambie,niko hapa Isamilo.
 
Siriaz mimi nina 25 milioni cash! Ni pm tafadhali.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…