pettymarcel
JF-Expert Member
- Jun 17, 2012
- 2,161
- 883
Yaani I wish I could do that ila shida hainaga hodiSasa badala ya kuiuza si uidizaini wewe mkuu ukodishe wazungu ule dola
Mbona wewe hukufanya hivyo?Karibuni sana unaweza kui dezin ikawa apartment ukakodisha wazungu ukawa unakula dola tu
Bado ipo mil 70 sasa
Hii si kama zile ulisema tunaweza kujenga kwa 32m vipi tena hii unatuuzia 150...70m?Bado ipo mil 70 sasa
Hiii ni ya mteja anashida ametuomba tumtangazie awali alikuwa anauza 150 akakosa mteja na shida ikawa kubwa zaidi Leo ameomba tukipata ata mteja wa 70 tumsaidie kuuza tu maana yuko juu ya maweHii si kama zile ulisema tunaweza kujenga kwa 32m vipi tena hii unatuuzia 150...70m?
Ndio kiongoz thanx to MaguImefika 70 !?
Poa leteNjoo nikupe 19
Njoo uione utalii kidogoOnyesha huo Ukaribu na Ziwa.....!!
Ikifika 10 uniambie,niko hapa Isamilo.Hiii ni ya mteja anashida ametuomba tumtangazie awali alikuwa anauza 150 akakosa mteja na shida ikawa kubwa zaidi Leo ameomba tukipata ata mteja wa 70 tumsaidie kuuza tu maana yuko juu ya mawe
Imefika mil tano mkuu njoo uinunueIkifika 10 uniambie,niko hapa Isamilo.
Sawa mkuu endelea kuwa nayo tu hiyo ni pesa nyingi sanaSiriaz mimi nina 25 milioni cash! Ni pm tafadhali.