Nyumba inauzwa chap chap Makongo

GISAMBO

JF-Expert Member
Joined
Mar 14, 2014
Posts
1,218
Reaction score
1,987
Kama ghorofa ina Juu na chini
1. Juu
Vyumba vyakulaa 4
Kila chumba kina choo ndani.
Sebule kubwa
Jiko kubwa na stoo yake
Dining kubwa
Public toilet

Jumla ya varanda za kupumzikia zipo 4.

2. Chini.
Sebule,
Chumba na choo ndani
Pia kuna stoo kubwa sana chini

Parking kubwa
Kisima cha maji
Umeme.

Bado.
Makabati ya ukutani
Madirisha ya vioo,
Geti kubwa pamoja na paving block

Mita 300 toka barabara ya rami
Kilometer 7 mpaka ubungo mataa

Kimepimwa na fully docoment

Price 200M mazungumzo yapo kidogo
Pm for serious buyer
/www.jamiiforums.com/mobile-gallery/aa4626156e86293a198538ee4779a0a2.jpg[/IMG]

iPhone 7 /A1786)
 
Biashara nzuri.

Sent from my iPhone 8 using JamiiForums mobile app
 
Asante kwa taarifa ila rekebisha tangazo..
 
Serious buyer atakuja kuona

iPhone 7 /A1786)
 
Kaa kwa mbali uchukue picha zitakazoonyesha nyumba yote kwa mbele, nyuma na pembeni. Mtu anahitaji kujua akitokea getini atakua anaiona Nyumba imekaa vipi (Muonekano wa Mbele).
Hizo tiles sijui Karo la kupigia mswaki na feni ni very minor issue katika kumshawishi mtu.
 
Unaiba au??? Una kimbia nn toa detail zote sio bla bla hizi
 
sasa badala ya kuonesha nyumba ilivyo kwa nje na ilivyo yenyewe unatupigia hadi choo sisi kinatuhusu nini
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…