Nyumba inauzwa boko.

Kitomai

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2009
Posts
1,143
Reaction score
369
Ipo Boko upande wa kushoto katika Barabara inayoelekea Bagamoyo. Ipo karibu na nyumba za Shirka la nyumba la Taifa-NHC-BOKO. Ina vyumba vitatu vya kulala, jiko, sebure na baraza la kulia chakula. Imejengwa juu ya kiwanja chenye Hati Miliki ambacho kina ukubwa wa mita za mraba 1700. Bei ni ya kushauriana. Mwenye nia ya kununua tuwasiliane moja kwa moja kupitia hii namba 0755312233 Piga au tuma sms au WhatsApp.



 

Attachments

  • IMG_0696.JPG
    54.3 KB · Views: 156
  • IMG_0697.JPG
    40.8 KB · Views: 57
  • IMG_0698.JPG
    44.2 KB · Views: 156
  • IMG_0699.JPG
    40 KB · Views: 155
  • IMG_0700.JPG
    21.6 KB · Views: 61

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…