Kitomai JF-Expert Member May 21, 2009 1,061 281 Aug 4, 2011 #1 Ipo kimara stop over. Self contained ya vyumba vitatu, jiko, sebure na dinning, ni nyumba ya zama hizi.Imejengwa juu ya uwanja wa eka moja. Bei tshs 55mil. Kwa maelezo zaidi piga simu 0717114409 Attachments IMG_0124.JPG 69.2 KB · Views: 84 IMG_0120.JPG 52.2 KB · Views: 77 IMG_0122.JPG 48.2 KB · Views: 72
Ipo kimara stop over. Self contained ya vyumba vitatu, jiko, sebure na dinning, ni nyumba ya zama hizi.Imejengwa juu ya uwanja wa eka moja. Bei tshs 55mil. Kwa maelezo zaidi piga simu 0717114409
Rejao JF-Expert Member May 4, 2010 9,220 4,059 Aug 4, 2011 #2 Hii nyumba ina matatizo gani? zaidi ya miezi sita sasa naona inatangazwa, but mnunuzi hajapatikana!
MkimbizwaMbio JF-Expert Member Nov 16, 2010 868 331 Aug 4, 2011 #3 Rejao said: Hii nyumba ina matatizo gani? zaidi ya miezi sita sasa naona inatangazwa, but mnunuzi hajapatikana! Click to expand... Imejengwa eneo la wazi. Wabongo hatuoneani huruma kabisa. Tunaingizana mkenge tu.
Rejao said: Hii nyumba ina matatizo gani? zaidi ya miezi sita sasa naona inatangazwa, but mnunuzi hajapatikana! Click to expand... Imejengwa eneo la wazi. Wabongo hatuoneani huruma kabisa. Tunaingizana mkenge tu.