Nyumba inapangishwa

nghoni

Member
Joined
Nov 29, 2013
Posts
11
Reaction score
2
Jamani nyumba hiyo unapangishwa ipo kiwalani ina vyumba 3 vya kulala,sitting room,jiko na choo ndani. Kodi ni 200000 kwa mwezi.
 

Attachments

  • 1396029079166.jpg
    62.9 KB · Views: 458
Kutoka barabarani ni umbali gani?
 
barabara ipi ya kijiwe samli au minazi mirefu au bombom au ccm au km kwenda nyerere road
 
Kwenye kona km unaenda kijiwe samli pale kwenye tank na wanauza mbao kuna kona hapo ni nyumba ya sita kushoto.
 
Wale watoto wa Mbwa Hamna uko kwako;

ANGALIZO
 
Jamani nyumba hiyo unapangishwa ipo kiwalani ina vyumba 3 vya kulala,sitting room,jiko na choo ndani. Kodi ni 200000 kwa mwezi.

Kwani kuinunua ni sh.ngapi??????????
 
Malipo ni mwaka bt u can negociate.. Na haiuzwi
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…