Habari zenu wakuu, nina nyumba napangisha ipo mkoani iringa, mahali panaitwa kihesa semtema, inavyumba vinne, self containe, car parking na uzio wenye nafasi yakutosha.. Bei tsh 150,000 kwa mwezi, malipo miezi sita.. Mwenye uhitaji anaweza kunipm.
Habari zenu wakuu, nina nyumba napangisha ipo mkoani iringa, mahali panaitwa kihesa semtema, inavyumba vinne, self containe, car parking na uzio wenye nafasi yakutosha.. Bei tsh 150,000 kwa mwezi, malipo miezi sita.. Mwenye uhitaji anaweza kunipm.
Nadhani unaizungumzia Iringa ya mwaka 47 Iringa ya sasa hiyo bei ni rahisi. Iringa nyumba kama hiyo sasa lazima ianze na laki na themanini laki mbili kwa mwezi alafu unatoa ya mwaka.