Nyumba INAPANGISHWA

Shaycas

JF-Expert Member
Joined
Feb 13, 2009
Posts
906
Reaction score
112
Ipo Nkuhungu Dodoma.
Vyumba vitatu(master 1),sebule, dining room, store na jiko.
Maji na umeme vipo.
 
kupangishwa bure kukoje.
Tumia busara ya kawaida ndugu.
Kama unahitaji fanya mawasiliano, gharama ni ndogo sana.

ni vema ukaweka bei kuepuka lugha ambazo si nzuri. Mara zote mtu anayepangisha nyumba anasema bei na kuonyesha picha ila wateja waweze kufanya maamuzi sahihi.
 
Weka bei kama kweli unapangisha! Ukiwa silent inakuwa ina maanisha kuwa ni for charity.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…