Ukipiga gharama inapita ndugu. Kuoauwa tu ni 7.8 Milion. Ujenzi hadi ilipofika ni zaidi ya mil 15. Kiwanja n.k ni zaidi ya mil 2. Maongezi yapo lakini. Hapo pamejengwa Sink la maji pipa 80, umeme, maji ya KIUWASA. Inazidi sana ndugu. Ila mteja wa haraka tunakubaliana nimuuzie tu