Bilashaka utakuwa mwalim wa KIKE maana unaonesha uwezo wako wa kufikiria ni sawa na mtoto wa kiume wa miaka 9
mi mwalm nlpata wa kubadilshana kituo cha kaz na mchakato kwa upande wangu nshamalza(it means kuanzia kuandka barua na kuzsign kote na kupewa kbal kule nnako taka kuhamia na huku nnakotoka na nshavpeleka mkoan) tatzo lpo kwa yule mwenzangu bado hajakamilsha mkoan
je sababu hii itaathiri uhamisho kwangu nliemalza hatua zote..natangulza shukran
"matusi hayajeng"