Rev Fr KABOKA mchizi
Member
- Feb 20, 2012
- 93
- 11
nabii wa jfTunatubu kwa nani? Kwako, JF au kwa Mungu?
Maana kama ni kwa Mungu; hatuhitaji kubandika humu ili Mungu asikie!
Wasichana wote ambao mmefanya abortion, madokta mnaofanya hyo kazi na wanaume mnaowaruhusu wale mlofanya nao uzinzi wakafanye abortion.
. . . . . . . . . . . . . . . .
Wekeni tanga muwalilie hao viumbe wasio na hatia mliowaua, pateni sononeko la moyo kwa maumivu waliyopata kabla ya uhai kuwatoka.
. . . . . . . . . . . . . . .
Wekeni dhamira ya kutorudia hyo dhambi na mkawe mabalozi wa kukemea hyo dhambi. Mungu ni mwenye huruma atawasamehe!
NJOONI MTUBU!
Wasichana wote ambao mmefanya abortion, madokta mnaofanya hyo kazi na wanaume mnaowaruhusu wale mlofanya nao uzinzi wakafanye abortion.
. . . . . . . . . . . . . . . .
Wekeni tanga muwalilie hao viumbe wasio na hatia mliowaua, pateni sononeko la moyo kwa maumivu waliyopata kabla ya uhai kuwatoka.
. . . . . . . . . . . . . . .
Wekeni dhamira ya kutorudia hyo dhambi na mkawe mabalozi wa kukemea hyo dhambi. Mungu ni mwenye huruma atawasamehe!
NJOONI MTUBU!
.Rev Fr KABOKA mchizi
wewe mwenyewe unajiita mchizi achana na hilo jina la mchizi then ndipo uhubiri injili!
.Muumba wa mbingu na nch ndiye mwenye kutoa misahama, wewe shukuru hukunyofolewa umeiona dunia.
.... Wewe kuwa wa kwanza kutubu...
.
Neno MCHIZI kwa kilugha chetu ni MBARIKIWA, so ondoa maana mbaya kichwani kwako
.
Neno MCHIZI kwa kilugha chetu ni MBARIKIWA, so ondoa maana mbaya kichwani kwako
.
Sasa kama we hukunyofolewa kwann umenyofoa? Umetupunguzia vijana watakaoleta ukombozi katika nchi hii.. Njoo utubu binti..
Ndo manaakeTunatubu hapa hapa mtumishi au utaratibu ukoje....!!!!
Ndo manaake
Wasichana wote ambao mmefanya abortion, madokta mnaofanya hyo kazi na wanaume mnaowaruhusu wale mlofanya nao uzinzi wakafanye abortion.
. . . . . . . . . . . . . . . .
Wekeni tanga muwalilie hao viumbe wasio na hatia mliowaua, pateni sononeko la moyo kwa maumivu waliyopata kabla ya uhai kuwatoka.
. . . . . . . . . . . . . . .
Wekeni dhamira ya kutorudia hyo dhambi na mkawe mabalozi wa kukemea hyo dhambi. Mungu ni mwenye huruma atawasamehe!
NJOONI MTUBU!
Tunatubu kwa nani? Kwako, JF au kwa Mungu?
Maana kama ni kwa Mungu; hatuhitaji kubandika humu ili Mungu asikie!