Nissani extra inauzwa

Jamani mme - elewa tangazo la bwana dalali ?

Nissan extra inauzwa bei mil 17 mazungumzo yapo.

Inamaana bei inaweza kushuka iwapo mnunuza ataafiki bei yake aliyopanga.

We must read between the lines pls msiwaaribie wa2 biashara zao.
 
Jamani mme - elewa tangazo la bwana dalali ?

Nissan extra inauzwa bei mil 17 mazungumzo yapo.

Inamaana bei inaweza kushuka iwapo mnunuza ataafiki bei yake aliyopanga.

We must read between the lines pls msiwaaribie wa2 biashara zao.
Hata kama punguzo lipo ..... Kuanza na bei kubwa kiasi hicho ni kufukuza Wateja pia" ningemwona Wa maana kama angeliona na hilo
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…