Micky1989 Member Joined Jun 5, 2014 Posts 31 Reaction score 0 Nov 30, 2016 #1 Nissan extra inauzwa bei 17 maongezi yapo
Mbimbinho JF-Expert Member Joined Aug 1, 2009 Posts 8,328 Reaction score 7,804 Nov 30, 2016 #2 No A mil 17? bei yako ipo juu sana
zebanga watelanga JF-Expert Member Joined May 3, 2013 Posts 862 Reaction score 398 Dec 1, 2016 #3 Haaaaa haaaahaaaaa
Abuu Kauthar JF-Expert Member Joined Jul 10, 2011 Posts 4,489 Reaction score 6,883 Dec 1, 2016 #4 Extra kwa maana ya nisan ya ziada au?? Au namba A mil 17 duh
karume kenge JF-Expert Member Joined Mar 9, 2016 Posts 568 Reaction score 423 Dec 1, 2016 #5 Mbimbinho said: No A mil 17? bei yako ipo juu sana Click to expand... Tena no A
ITEGAMATWI JF-Expert Member Joined Jan 26, 2012 Posts 5,362 Reaction score 4,125 Dec 1, 2016 #6 Nissan Extra ni toleo la mwaka gani hilo la Nissan? Halafu mbona imefanana sana na Nissan Extrail?
jogi JF-Expert Member Joined Sep 25, 2010 Posts 25,556 Reaction score 25,362 Dec 1, 2016 #7 Labda haitumiki toka imesajiliwa. Bei hiyo huuzi!!!! Shusha mpaka 7m watu wataku PM
Countrywide JF-Expert Member Joined Mar 2, 2015 Posts 21,193 Reaction score 33,577 Dec 1, 2016 #8 mpya yard inauzwa mil.15, hyo namba A unauza mil.17? unatania??
Jamiix JF-Expert Member Joined Mar 27, 2012 Posts 950 Reaction score 677 Dec 1, 2016 #9 Houseboy kaamua kuandika kwa niaba ya tajiri, kaweka cha juu 12m,hiyo ni 5-7m
A Allency JF-Expert Member Joined Jan 27, 2011 Posts 15,923 Reaction score 15,696 Dec 1, 2016 #10 7 ml pia hupati!
Mr.Wenger JF-Expert Member Joined Nov 20, 2014 Posts 2,572 Reaction score 6,199 Dec 2, 2016 #11 Alinunua million 17 miaka 10 iliyopita sasa hivi anataka auze kwa hiyo hiyo million 17 . Bora angenunua kiwanja kama alitaka kuuza kwa faida
Alinunua million 17 miaka 10 iliyopita sasa hivi anataka auze kwa hiyo hiyo million 17 . Bora angenunua kiwanja kama alitaka kuuza kwa faida
Nichumu Nibebike JF-Expert Member Joined Aug 28, 2016 Posts 8,658 Reaction score 15,813 Dec 2, 2016 #12 Hiyo bei ni Milioni moja na laki saba au milioni kumi na saba? Kama ni 17, hiyo gari ina TV ndani? Ina choo na bafu? Kamuuzie Donald Trump kwa bei hiyo...
Hiyo bei ni Milioni moja na laki saba au milioni kumi na saba? Kama ni 17, hiyo gari ina TV ndani? Ina choo na bafu? Kamuuzie Donald Trump kwa bei hiyo...
Nimkimbilie nani JF-Expert Member Joined Nov 23, 2016 Posts 6,217 Reaction score 6,569 Dec 3, 2016 #13 Hahahaha mmeua biashara nyie
L Leonard Qamunga Member Joined Aug 6, 2016 Posts 24 Reaction score 14 Dec 3, 2016 #14 Hiyo hata kwa milioni 7 hapa labda 5 , no A ambayo haikuwa ikitunzwa
nkobanks JF-Expert Member Joined Jul 11, 2015 Posts 681 Reaction score 401 Dec 3, 2016 #15 Huwez uza kwa bei hiyoo...rav4 show room ni mil16 iyo mkononi mil17 labda ukawauzie wakulima wa korosho mtwara mwaka huu wametajirika mno
Huwez uza kwa bei hiyoo...rav4 show room ni mil16 iyo mkononi mil17 labda ukawauzie wakulima wa korosho mtwara mwaka huu wametajirika mno
J jameskwene Member Joined Jul 24, 2014 Posts 44 Reaction score 18 Dec 3, 2016 #16 Hiyo ukiagiza mpya mpaka tz ni around mil 15, sasa hiyo imeshatumika tena namba A eti mil 17. Dalali hapo umechemka!
Hiyo ukiagiza mpya mpaka tz ni around mil 15, sasa hiyo imeshatumika tena namba A eti mil 17. Dalali hapo umechemka!
Governor of Bettors-GB JF-Expert Member Joined Jul 14, 2013 Posts 10,734 Reaction score 9,916 Dec 5, 2016 #17 Nimeamini kweli udalali taaluma,duhhh Jamaa hata field hujaenda?mbona umeanza vibaya
Ficus JF-Expert Member Joined Jul 14, 2013 Posts 1,438 Reaction score 1,123 Dec 5, 2016 #18 Punguzeni ukali wa maneno wakuu.
Katavi Platinum Member Joined Aug 31, 2009 Posts 42,099 Reaction score 12,920 Dec 5, 2016 #19 Ficus said: Punguzeni ukali wa maneno wakuu. Click to expand... Hahahaah ukali upo wapi hapo? Wamemweleza ukweli dalali.!
Ficus said: Punguzeni ukali wa maneno wakuu. Click to expand... Hahahaah ukali upo wapi hapo? Wamemweleza ukweli dalali.!
R rolla JF-Expert Member Joined Apr 20, 2013 Posts 2,274 Reaction score 1,214 Dec 5, 2016 #20 Micky1989 said: Nissan extra inauzwa bei 17 maongezi yapo Click to expand... Hiyo kubwa mno. Yani brand hiyo kuna namba c inaenda kwa ten tu! Kwa namba hiyo ukipata wa 6/7 ushukuru sana!
Micky1989 said: Nissan extra inauzwa bei 17 maongezi yapo Click to expand... Hiyo kubwa mno. Yani brand hiyo kuna namba c inaenda kwa ten tu! Kwa namba hiyo ukipata wa 6/7 ushukuru sana!