Kuuza k2 kwa bei rahisi cyo lazima Kiwe cha wizi au kibovu.na kama ni mbovu m2 c unaacha maana hulazimishwi unaruhusiwa kuja na fundi wako na details zote za gari zipo utaenda popote kuhakiki kama ya wizi au la msiwe na mawazo mabovu kila wakati NI MAMBO YA MAISHA TU