Nimechukia mno...huu ni uzandiki....Kwanini wasifanyiane wao wakubwa kwa wakubwa?!Unatesa mtoto asiyejua hata uwepo wa Mungu....Na Mungu mwenyewe ndiye kipenzi cha watoto?
Kama ushawah kuogelea maji yanachapa yaani ni bora ucharazwe na bakora mia sio maji yakuchape.....binafsi ningewaua..huwez kuwa katil kiasi hicho kwa watoto...
Acha uongo wako hapa maji yanachapaje
Au unafikir sisi hatajawah kuogelea?
Danganya wajinga wenzako
Eti bora uchapwe bakora kuliko maji???!!!! Tapeli wewe
Acha uongo wako hapa maji yanachapaje
Au unafikir sisi hatajawah kuogelea?
Danganya wajinga wenzako
Eti bora uchapwe bakora kuliko maji???!!!! Tapeli wewe
Wewe ni jiwe ndani ya maji ...ukidumbukia kinachofata ni history....jiulize unavojirusha ndani ya maji kwa nin unatanguliza mikono na kichwa...au jaribu hivi jirushe kwenye maji tokea mwinuko mkali alafu uende tulia mgongo...