dr namugari
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 9,600
- 16,258
Azuma si ushanunua kabisa au utanunua kesho?
Nipe huyo mimi napendaga mademu wenye masham shamWakuu leo nimetembelewa na bint mmoja tulipotezana mwaka saa basi juzi katika kupitia phone book yangu nikaona namba zake nikamtumia msg na akanijibu na Kisha tukachati chat na kuniambia bado yuko Ddoma.
Basi leo nimemualika aje anitembelee bila hiyana amehitikia wito na yuko hapa sasa hivi tuko nae hapa. Kilichonisikitisha amevaa kikuku miguuni mwake.
Je, uvaahaji wa vikuku kuna maana gani kwenye jamii kabla zoezi la pili halijafata la uchakataji.
Sent from my German technology
Aiseeeh!..Hapa Inabidi Umalize Dose Ya Azuma.
Duh msinitishe Basi jmnAzuma si ushanunua kabisa au utanunua kesho?
Nashare siyo Muda mrefuHabari bila picha ni batili
Na. Kwlei ana mashamshamuNipe huyo mimi napendaga mademu wenye masham sham
Demu mkali tu Wala haongei snaDemu mwenye vionjo huwa ni watamu mno kwa kutafuna, ni full mzuka vikuku miksa kipini.... aaah wife materio ni kwa ajili ya familia tu kwa kweli.
Aisee. Mi mgeni jamani msinicheke. Hii Azuma ni dawa ya kutibu nini?Azuma si ushanunua kabisa au utanunua kesho?