mkuu kabla hujaendelea kutumia pc ysko jambo la kwanza na muhimu usihifadhi tena kitu chochote kutoka sasa mpk ukisha recover
jambo la piri nshauri onana na mtaaram wa IT
Vitu vyako vitarudi 100/% vikiwa katika ubora huo huo km ukifata prosija ama suvyo utavikosa vitu vyako hats km utapata software best
kwann nimekwambia umuone mtaalam au fundi mchundo kuna methord nyingi za kurecover ili kupata best result
kuna deleted file
kuna formated file whole hdd change
kuna single formated file
kuna corupted disk
kuna missing driver
kuna kuna deleted 2 pation creat one
kuna deleted partition 1 creat 2 or more partiton
kuna full recover
kuna fast scanet
kuna recover baada kuinstall new window in one partition
n.k
sasa wengi wanafail na kupata corupted file kwa kutofuata methord za recover
hvyo kuwa na software pekee haitoshi inahitajika ufahamu na ujuzi unachokifanya ama sivyo utazikosa file zako au zitakuja lkn corupted 7bu kuna method nyingne inatakiwa ufanye one time tu
7bu hiyo software yenyewe inahitajikwa kuweka katika partition ambayo siyo recover lengwa
kwa mfano km kesi yako hapo HDD inatakiwa itolewe nje ifanyiwe recover ikiwa extnal ili kupata best result ama lah hiyo software iwekwe kweny extnal device
Sent using
Jamii Forums mobile app