Imeandikwa katika Biblia takatifu. 1 Wakorinto 7 mastari wa 8 hadi 9, nanukuu "nawaambia Kwa wale ambao hawajaoa bado, ni bora wabaki Kama mimi nilivyo, lakini Kama watashindwa kujizuia na tamaa, ni bora kuoa kuliko kuwaka tamaa". Mwisho wa kunukuu..