Nifanye nini?

susan appie

Member
Joined
May 8, 2014
Posts
15
Reaction score
1
Habari wana JF,

Mi ni mgeni humu kuna kitu kina nitatiza nina mahusiano na mtu lakini kuna vitu niliobserve nikagundua ameweka mbele zaidi maswala ya sex na haonikani kupanga maswala ya maisha na mimi yaani huwa hazungumzii malengo ya mahusiano yetu kwa kusema kwamba bado muda namuamini sana Mungu napenda kukaa kwenye njia zake ili awe msaada kwenye maisha yangu nilijaribu kuachana na yeye na hakuona shida tatizo nashindwa kumsahau namkumbuka na kupata shida sana najikuta narudi kule kule japo sipendi nifanye nini?
 
Endelea nadhan naww unafurahia anavyokufanya
 
acha kutembea na wavulana tafuta wanaume huyo ni mzigo tayari kama chupi mkononi kazi unayo... sasa muhimu mind setting ndo itakusaidia nothing else... ambia akili yako nataka kuwa hivi nayo itafanya acha kusikiliza moyo
 
Its simple, know your worth.

If you think your worth is as much as the trash he takes you to be then keep going back. And keep getting laid to his satisfaction.

But if you think you as a woman with dignity deserve a good God fearing man who will cherish you and treat you right then bounce!

There are very good men out there.

I know so because I am married to one.
 
mpo katika mahusiano kwa muda gani?mtu ambaye haongelei kuhusu malengo yake na ww,ni kwasababu hana malengo yoyote na wewe, ni mpita njia tu na anakutumia…unaposema unarudi kulekule unamaanisha una furahia jinsi unavyochezewa,kitu ambacho kinasikitisha kwasababu mna mipango tofauti na ushaligundua hilo,JUA THAMANI YAKO,NA JITHAMINI KISHA WATU WENGINE WATAKUTHAMINI, ACHA kujitafutia matatizo bi dada?we unaliona shimo baada ya kulikwepe wewe wajipeleka utumbukie lol...
 
Maisha yenyewe yako wapi uishi unakazwa hovyo kama kuku bila malengo.

Ndo hapo.

--------- weee halafu unajipeleka mwenyewe ukatumiwe. Wazazi wetu wangejua tunajidharaulisha hivi wangetuzaa kweli?

If there is anything I hate ni desperate women!
 

binti hapo jibu tayari liko wazi, he doesn't love you hata wewe unalijua hilo, sema moyo wako ndo unakuzuia ku move on na isitoshe kamwe huwa si rahisi kuweza kumsahau mtu uliependa inahitaji ujasiri hasa wa moyo kwahyo usijiendekeze fanya maamuzi magumu ya kumsahau, na sikudanganyi kwamba itakuwa rahisi No way jiandae kulia, na kukonda lakini mwisho wa siku utasahau. Jiulize kipi bora je kuendelea kuwa nae huku moyo wako unaugulia na kukosa amani au kuachana nae uumie kwa muda then baadae upata furaha na amani, na umesema unamtegemea Mungu thats very very gud, funga na uombe akupe ujasiri na zaidi sana akuletee mume mwema
 
Jamaa anakutumia tu kupunguza maji ya uzima ndiyo maana hata ukimuacha haimsumbui.
ufanyaje?......tubu dhambi ya uzinzi na Mungu atakurehemu atakupa mme wa kufanana na wewe.
 
^^
Utamsahau usijali, kuwa na mwanaume anaejali mapenzi tu si dalili njema
^^
 
yaaani ant mwenzio anakuona kama maharage ya mbeya..hivyo kama ulichukua maamuz ya kutoka ni vizuri jipange upya..maana anakuzeesha bure halafu ampendaye yupo
 
Indeed, he is just using you for pleasure and not otherwise
 
acha kutembea na wavulana tafuta wanaume huyo ni mzigo tayari kama chupi mkononi kazi unayo... sasa muhimu mind setting ndo itakusaidia nothing else... ambia akili yako nataka kuwa hivi nayo itafanya acha kusikiliza moyo

Kwanini usimuelekeze aje kwangu huyu dada? atapata mipango sahihi ya maisha na ukuni wa uhakika nitampa akapikie.
 
Never follow your heart in this life......
 
Dada ni pm nitakupa mipango sahihi ya maisha mpaka uzae na ukizaa watoto 3 tunafunga ndoa.nitakupa gari na nyumba ya kuishi.vipi unajua kuendesha gari?? Ila lazima upime ukimwi.
 

Jali maisha kwani mwanaume ni yeye tu peke yake?
 
Dawa ya mwanamke ni kumsugua vizuri, sasa dada suzy jamaa huwa anakusugua vizuri lazima uwe unamkumbuka na hauna ujanja.
 
Pole sana,fanya maamuzi magumu ambayo yatakukomboa,hapo unatumika tu,kwanini dhahabu yako unampa nguruwe?? Hawezi jua thaman yako,anza maisha yako km ni misaada midogomidogo waipata isikufunge,fanya kaz na Mungu atakupatia mume mwema.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…