Nakushauri tafuta chuo cha utabibu/medical assistant, hata kama utafanikiwa kupata Laboratory technician omba, na ukipata jitahidi kujiendeleza kwa kusoma kwa juhudi na kwa malengo, n nakuahidi kwa c hizo utakuwa daktari mzuri tu. Labda kama hiyo sio taste yako. Otherwise I feel u r good in that.