Ninachofahamu ili upate kitambulisho cha uraia unatakiwa uwe na kiambatanisho kimojawapo kati ya hivi kitambulisho cha kura,cheti cha kuzaliwa,bima ya afya,cheti cha elimu ya secondary,cheti cha elimu ya secondary ya juu......Hiyo habari kwamba ni lazima uwe na cheti cha kuzaliwa si kweli.....Mama yangu alitumia kitambulisho cha kura kupata hicho cha uraia yeye hana kitambulisho cha kuzaliwa