Mkubwa mimi sim-support huyo mtu wako kwa hilo analofanya, ila ninalo jambo kama si kijambo!!!
Mtu haanzi from no where kuomba password, so badala ya kujionyesha kwetu kuwa wewe u mtakatifu na kuwa yeye ndo ana matatizo, ni afadhali useme umemfanyia nini mpaka aonyenshe dalili za kutokukuamini? naamini lipo jambo na bora uliseme ili wanajamvi wakushauri ipasavyo ilasivyo kumbuka kuwa "mficha maradhi......"