Msilete mada za kijinga , wamasai ni kati ya watu wanaokataa kubadilika.
Wanataka kuishi maishaya kiporipori karne ya 21.
Na wanapovamia Wakiwa na mifugo kwa maelfu ,mashamba na ardhi ya wananchi wengine huko Handeni,Kilosa na kwingineko mbona hamyanyui midomo yenu.