katika watu wanaoendelea kusaini petition, watanzania ni wachache ama hakuna.
Watanzania tupo kimya kabisa, waoga, sijui kwa nini
uoga wetu ndo unaompa Mr. Dhaifu ujasiri.
Ofcourse Mr Dhaifu sio weak, watanzania ndo Dhaifu.
Mabilioni yameibwa, na ufisadi mwingi umefanywa ili watanzania tupo kimya.
Sasa wamasai waliondolewa loliondo, wakachomewa nyumba, wanawake wakabakwa, jeee hii ya serengeti ni uongo???
Serikali walikuwa na mpango huo, hasa yeye Dhaifu anavoingilia hii wizara.
Angalia hata Ngorongoro
Sasa watanzania, tusaini petition kwa wingi.
Hii hapa pinga ukandamizaji. Okoa watanzania wenzio maasai
Watanzania tupo kimya kabisa, waoga, sijui kwa nini
uoga wetu ndo unaompa Mr. Dhaifu ujasiri.
Ofcourse Mr Dhaifu sio weak, watanzania ndo Dhaifu.
Mabilioni yameibwa, na ufisadi mwingi umefanywa ili watanzania tupo kimya.
Sasa wamasai waliondolewa loliondo, wakachomewa nyumba, wanawake wakabakwa, jeee hii ya serengeti ni uongo???
Serikali walikuwa na mpango huo, hasa yeye Dhaifu anavoingilia hii wizara.
Angalia hata Ngorongoro
Sasa watanzania, tusaini petition kwa wingi.
Hii hapa pinga ukandamizaji. Okoa watanzania wenzio maasai