Chechetuka
JF-Expert Member
- May 28, 2009
- 549
- 44
Chechetuka said:Hivi waliogoma ni wanafunzi wa Chuo wote au ni wale wa Sociology tu? Kiongozi wao ni muumini wa Chama gani?Waliogoma ni wa college of humanities na social sciences. Kiongozi wao wa wapi? Ebu fafanua. Chanzo cha mgomo ni madai juu ya field work ambayo wanafunzi wamekua hawaipata. Tatizo limetokea baada ya chuo kuwadai wanafunzi ripoti za field work ilhali chuo wala serikali (kupitia HSELB) haijatoa pesa za field. Wahitimu wa kwanza wa college iyo nao hawakwenda field. Wanafunzi wa sasa wamegoma ili kudai haki yao.
...next time kabla ya kugoma, tengenezeni mabomu ya petroli kwenye chupa.....wakija hao 'angels of death' wa CCM (FFU) inakuwa jino kwa jino na pua kwa pua!!! hadi vurugu zinaisha kila upande unaenda kuzika maiti zake!!!!
Chechetuka said:kwa juhudi zake binafsi Rais Kikwete aliona ni jambo la maana kuanzisha Chuo hichoMkuu husipotoshwe na propaganda za mkwere. UDOM ulikua ni mpango wa muda mrefu wa serikali uliobuniwa na Mwalimu,hao waliofuata,na badae mkwere wamefanya kutekeleza tu huo mpango.
Nimeongea na mwanafunzi mmoja pale chuoni ndo haya amenidhibitishia ijapokuwa wenye fani (waandishi wa habari) confirm zaidi;
Aliniambia kuwa hata RC wa dodoma ameshindwa kuelezea nguu iliotumika VS kama wangewaachia akakutana na mfagiaji wa ofisi ya Pinda, je haya yangetokea?
- Wanafunzi 2 wamekufa, hii inahitaji udhitisho.
- wameporwa simu, fedha, viatu na kadi za ATM (na password walilazimishwa). Hili nadhibitisha kwa kuwa wakati napiga akapokea japo sio kuongea labda harakatti za kuzima, nilisikia binti yetu akiambiwa toa na hio na hizo ghafla simsikii tena japo baadae alitafuta namna nyingine ya kuwasiliana.
- Wanafunzi wamebakwa. nilimbishia lakini akaniambia wewe upo Kahama na mimi nipo ndani ya eneo la tukio na huenda wanafunzi wengine wakajiua maana depression imetawala. Inahitaji udhibitisho.
- Wanafunzi zaidi ya 600 wameshikiliwa. Inahitaji udhibitisho.
Huenda FFU walielekeza hasira yao kwa UDOM kujifanya kimbelembele jwa CCM lakini nguvu hii ni zaidi ya hapo. Tujadili.