Nenda tu Aprili, tunashukuru

Meja M

JF-Expert Member
Oct 4, 2016
628
560
1: Tumeshuhudia kigo cha pambo la video Masogange, watu wakazimia huku wameshika vitambaa dah bongo muvi hii..nenda tu april

2: Tumebahatika kuona waliozalishwa wakatelekezwa wamejaa kwa mjomba ila hatujui wamepotelea wapi...april tutakukumbuka

3: Yakatangazwa maandamano,kikatangazwa kipigo cha mbwa koko tukanywea...kweli nenda tu April

4:Mwanasiasa akageuka mwalimu wa hesabu akapata matumizi ya fedha kwa kutumia MAGAZIJUTO...april umetuonyesha mengi

5: Yanga wakafuzu hatua ya makundi lakini wakaambulia kuwa timu ya kwanza kufungwa tangu Dodoma imetengazwa kuwa jiji...tembea na simba baba wamekua wagumba muda mtefu...asante april

6: Mbunge wa darasa la saba akawaokoa wenzake wakarudi kazini...hongera sana april

7: Kumetangazwa kupimwa tezi dume wanaume hakuna amani tena nani atakubali...kwanini lakini april??

NENDA TU..ASANTE KWA USHIRIKIANO WAKO..!!

Muage april kwa alichokifanya hutakisahau. !!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…